Font Size
Mathayo 27:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 27:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Apelekwa kwa Gavana Pilato
(Mk 15:1; Lk 23:1-2; Yh 18:28-32)
27 Mapema asubuhi, viongozi wote wa makuhani na viongozi wazee walikutana na kuamua kumwua Yesu. 2 Wakamfunga kamba, wakamwondoa na kwenda kumkabidhi kwa Pilato, gavana wa Kirumi.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International